mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,256
kauliza yupo wapi kama hujui si ukae kimya kwani babu yako huyoUnamtaka wanini? na akusaidie nini?
kauliza yupo wapi kama hujui si ukae kimya kwani babu yako huyoUnamtaka wanini? na akusaidie nini?
Kama anamtaka sii aende nyumbani kwake au nyinyi ndio mnawapotezaga watu makusudi harafu mnaanza kuwatafuta.kauliza yupo wapi kama hujui si ukae kimya kwani babu yako huyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aliingia kwenye bunge la katiba kama mwakilishi wa wachawi Tanzania!
anakuja kusaka hudumakwahiyo anafanya kazi NBC?