Yuko wapi Kangi Lugola?

Yuko wapi Kangi Lugola?

View attachment 3393710

Huyu alikuwa Waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika. Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena. Je, mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO?

Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana.

Nawasilisha.
Bila shaka Mwibara swali ni jeamepanda ulingoni?
 
View attachment 3393710

Huyu alikuwa Waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika. Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena. Je, mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO?

Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana.

Nawasilisha.
Hivi Cyprian Musiba amechukua fomu jimbo la mwibara?
 
Kama ndiye aliyeruhusu mabasi yassfir usiku, mungu amlipe kheir
 
View attachment 3393710

Huyu alikuwa Waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika. Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena. Je, mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO?

Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana.

Nawasilisha.
Mcheki Kwenye Maonyesho ya Polisi Jazz Band

SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'a...jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom