Yuko wapi Kangi Lugola?

Yuko wapi Kangi Lugola?

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
16,230
Reaction score
22,841
DoaqSzkXsAAW1jJ.jpg


Huyu alikuwa Waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika. Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena. Je, mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO?

Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana.

Nawasilisha.
 
Huyu alikuwa waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika
Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang"anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena
je mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO
Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana
Nawasilisha
Kweli aisee! Atakumbukwa kwa hilo la mabasi kusafiri usiku.
 
Huyu alikuwa Waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika. Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena. Je, mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO?

Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana.

Nawasilisha.
Mzee wa miuno
 
Huyu alikuwa Waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika. Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena. Je, mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO?

Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana.

Nawasilisha.
Amepita hapo nje muda si mrefu
 
View attachment 3393710

Huyu alikuwa Waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika. Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena. Je, mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO?

Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana.

Nawasilisha.
Alikuwa mwalimu au mwanafunzi?
 
View attachment 3393710

Huyu alikuwa Waziri wa mapolisi kipindi cha giza. Tuliambiwa alikuwa mwalimu wa malaika. Aliposhindwa kura za maoni kwenye kinyang'anyiro mwaka 2020 hajaonekana tena. Je, mzee wa kukata mauno KANGI LUGOLA YUPO WAPO?

Atakumbukwa kwa jitihada zake za kuyaruhusu mabasi ya abiria yasafiri usiku na mchana.

Nawasilisha.
Alikuwa na mikwara sana. ila ile awnu ilitisha sana iliweka watu.
 
HUYU SINNDO YULE MZEE WA MIUNO AU😁😁😁
 
Kweli bhn yeye ndie aliruhusu mabus yasafiri 24hrs.... Hatuwezi kuzuia usafiri wa usiku eti kisa tunayaogopa majambazi, majambazi inatakiwa yatuogope sisi
Tema mate chini, kauli kama hizi hazina afya hata kidogo.
 
Kauli Gani? Mimi nimemnukuu tu kwenye Moja ya hotuba zake
Kauli ya huyu mchangiaji "Kweli bhn yeye ndie aliruhusu mabus yasafiri 24hrs.... Hatuwezi kuzuia usafiri wa usiku eti kisa tunayaogopa majambazi, majambazi inatakiwa yatuogope sisi"
Hii kwangu naiona kama ni kauli chonganishi kwa sababu hao watu sio kwamba hawapo, la hasha wapo na kauli kama hizi ndio zinatuponza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom