Yuko wapi Josephat Gwajima?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,877
Reaction score
31,632
Kimepita kipindi kirefu hatujamsikia mchungaji Josephat Gwajima na hii si kawaida yake.

Kwa ukimya huu mkubwa bila shaka jamaa huenda walimbananisha haswa hivyo huenda hali yake ki afya si nzuri na bila shaka hayupo Tanzania.

Kwa Gwajima tunayemjua mtu asiyekubali kushindwa kiwepesi wepesi kwa matukio yanayoendelea kila kukicha lazima angetoa neno lolote asingekaa kimya.

Jamaa nina mashaka hali yake kiafya itakuwa si nzuri .


Ila hii serikali aisee.................
 
Yupo kwenye maombi mazito ya ukombozi wa taifa, kuhusu kumbananisha ni nani huyo anaweza kulibananisha jasus la mbinguni...
 
Anajiandaa kupokea kilichokuwa kijiti cha HPP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…