Kimepita kipindi kirefu hatujamsikia mchungaji Josephat Gwajima na hii si kawaida yake.
Kwa ukimya huu mkubwa bila shaka jamaa huenda walimbananisha haswa hivyo huenda hali yake ki afya si nzuri na bila shaka hayupo Tanzania.
Kwa Gwajima tunayemjua mtu asiyekubali kushindwa kiwepesi wepesi kwa matukio yanayoendelea kila kukicha lazima angetoa neno lolote asingekaa kimya.
Jamaa nina mashaka hali yake kiafya itakuwa si nzuri .
Ila hii serikali aisee.................