Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,090
Wadau kuna mwanamuziki mahiri aliyevuma sana enzi za 2004 hadi 2006 katika Band ya Twanga Pepeta aliyejulikana kama Ige Moyaba sijamsikia siku nyingi sana! Je kuna yeyote anafahamu alikpo huyu jamaa? kwani alikuwa ananikosha sana akiwa na Banza Stone,Msafiri Diof na Chaz Baba.