Yuko wapi gwiji Bulendu?

Yuko wapi gwiji Bulendu?

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
34,776
Reaction score
46,053
Mabibi na mabwana huyu hapa:



ni mh. Abdullah Bulembo alipenda jiwe kama alivyomwita yeye apite bila kupingwa.

Wajameni mnapokuwa mnatoa kauli nzito nzito kama hizi msiwe mnapotea moja kwa moja.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
We mzee wa Corona Bulendu kwenye kichwa cha habari ndo nini!?.. Si utulie uandike vizuri unawahi nini!?
 
We mzee wa Corona Bulendu kwenye kichwa cha habari ndo nini!?.. Si utulie uandike vizuri unawahi nini!?

Ulimi hauna mfupa. Ukipenda mfupa hauna ulimi.

Corona na mama Samia tuko vizuri sana. Tulipo tunasubiria ripoti tu ya wataalamu.

Hata tunayemwulizia inatosha sana kuwa wazi tu kama alitereza.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom