STEPHEN JIBE
Member
- Jan 23, 2013
- 61
- 8
Kwa wanaokumbuka kund la bongo fleva la HBC wana chemsha bongo kulikua na
Big Willy,Niger J na Fanani aliyeimba 'fanani wa uhakika ktk fan anacfika' huya jamaa alikua ananikosha sana,naomba wenzangu mnijuze huyu jamaa alko na anafanya nn? asanteni
Big Willy,Niger J na Fanani aliyeimba 'fanani wa uhakika ktk fan anacfika' huya jamaa alikua ananikosha sana,naomba wenzangu mnijuze huyu jamaa alko na anafanya nn? asanteni