F9T
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,681
- 4,972
kwani polepole kwenye katba mpya nafasi ya ukuu wa wilaya alikuwa hasimamii anachoamini? mbona amekuwa mkuu wa wilaya na si huyu leo tunamwita mnafiki? au unafiki ni cheo kwamba kinachagua watu na watu?Nadhani kuna watu hawajui maana ya unafiki. Unafiki ni mtu kufanya vitu kwa siri. Lakini Nchimbi hakuwa mnafiki alisimamia anachokiamini.
