Yuko wapi Emmanuel Nchimbi?

Yuko wapi Emmanuel Nchimbi?

Habari za leo wana jamii,

Napenda kujua huyu kada nguli kabisa toka enzi za umoja wa vijana mpaka kuja kuwa waziri na sasa amepotea kama upepo uvumao. Namuulizia Emmanuel Nchimbi maana naona wengine wanaukwaa ukuu wa mikoa, ubalozi.

Yeye nini hasa kimempata mpaka kuwa kimya hivi. Hata kwenye vyombo vya habari haonekani. Napenda tu kujua maana ni makada waliongoza harakati za kuitetea CCM iwe mvua iwe jua walikua tayari hata kufa chama kibaki.

Nawasilisha.

Kwanza kwa wanaomfahamu Nchimbi siyo mtu anayeweza kuitwa mwanasiasa Nguli. Nchimbi alibebwa na mambo machache

1. Family background- anatokea kwenye familia iliyokuwa na uongozi wa kisiasa
2. Students politics za Mzumbe zilimwigiza UVCCM
3. Wakati anaingia UVCCM hapakuwepo strong character hivyo ikawa rahisi kupenya
ILa, Nchimbi siyo strong politician is very average character kwenye mambo mengi.
Kuhusu kutoteuliwa katika teuzi za Magufuli zinazoendelea, jibu ni jepesi sana- Emanuel Nchimbi ndiye aliyeitisha kikao na waandishi wa habari na kueleza kwamba Chama hakifuata utaratibu katika kukata jina la Lowasa
 
Mkuu,hivi unakumbuka baada ya Lowasa kukatwa na Kamati Kuu yeye na wenziwe wawili walitamka nini hadharani? Halafu unakumbuka kauli ya Rais JPM wakati wa kampeni na baada ya kupewa cheti kuhusu kutamalaki unafiki kwenye chama na hatua atakazochukua? Unaujua msimamo wa JPM dhidi ya unafiki? Tafakari!
Chukua hatua
 
Mkuu,hivi unakumbuka baada ya Lowasa kukatwa na Kamati Kuu yeye na wenziwe wawili walitamka nini hadharani? Halafu unakumbuka kauli ya Rais JPM wakati wa kampeni na baada ya kupewa cheti kuhusu kutamalaki unafiki kwenye chama na hatua atakazochukua? Unaujua msimamo wa JPM dhidi ya unafiki? Tafakari!

Nchimbi na Sofia hawakua wanafiki maana waliweka wazi msimamo wao, maana hawezi kufanya hivo. Na wala hawakua na kosa Lolote maana kile kilikua kipindi cha uchaguzi na kuwa na makundi haikua tatizo
 
Nadhani kuna watu hawajui maana ya unafiki. Unafiki ni mtu kufanya vitu kwa siri. Lakini Nchimbi hakuwa mnafiki alisimamia anachokiamini.
Kweli ndiyo maana hawezi kufanya kazi na Magufuli, mpaka leo yeye bado anasimamia imani yake kwamba Lowassa ndiye rais aliyepaswa kuwa madarakani na siyo JPM.
 
Habari za leo wana jamii,

Napenda kujua huyu kada nguli kabisa toka enzi za umoja wa vijana mpaka kuja kuwa waziri na sasa amepotea kama upepo uvumao. Namuulizia Emmanuel Nchimbi maana naona wengine wanaukwaa ukuu wa mikoa, ubalozi.

Yeye nini hasa kimempata mpaka kuwa kimya hivi. Hata kwenye vyombo vya habari haonekani. Napenda tu kujua maana ni makada waliongoza harakati za kuitetea CCM iwe mvua iwe jua walikua tayari hata kufa chama kibaki.

Nawasilisha.
Hivi yupo wapi dkt Slaa maana aliipigania sana Chadrma
 
Dr Nchimbi hakuwa mnafiki,ipo siku chama chake kitamtendea haki,kama walivyomkumbuka Philipo Malmo makamu mwenyekiti wa CCM bara
 
Habari za leo wana jamii,

Napenda kujua huyu kada nguli kabisa toka enzi za umoja wa vijana mpaka kuja kuwa waziri na sasa amepotea kama upepo uvumao. Namuulizia Emmanuel Nchimbi maana naona wengine wanaukwaa ukuu wa mikoa, ubalozi.

Yeye nini hasa kimempata mpaka kuwa kimya hivi. Hata kwenye vyombo vya habari haonekani. Napenda tu kujua maana ni makada waliongoza harakati za kuitetea CCM iwe mvua iwe jua walikua tayari hata kufa chama kibaki.

Nawasilisha.
Muulize Lowassa!
 
Kumbe wewe na Makufuli hamuwajui wanafki, Nchimbi siyo mnafki bali ni mkweli alisimamia kile anachokiamini hadi dakika ya mwisho na hata pae chama kilipobinya demokrasia yeye alibaki ccm mpaka leo, je unafki wake uko wapi?

Wanafki ni hao wanaojifanya kumpenda Magufuli baada ya kuwa Rais kiukweli ndani ya ccm Magufuli hana bae yoyote,kila kada wa ccm alikwa na upande wake.

Ningependa kumtia moyo Nchimbi asifadhaike, ole wake amtegemeaye binadamu mwenzake, ridhiki anayetowa ni Mungu tu.
Umemaliza kila kitu mkuu, Mungu akubariki.
 
Hivi yupo wapi dkt Slaa maana aliipigania sana Chadrma
Jaribu kuficha ujinga wako, kila anefuatilia siasa anajua alipo Dr. slaa kwa kuwa anapost mambo kutoka huko alipo na aliaga anaenda kupumzika, sio lazima uingize chadema hata kwenye swala lisilo husu chadema, wote tunajua Nchimba kapotea kimya kimya ndio maana anauliziwa hapa, kama unataka kujua zaidi kuhusu slaa anzisha mada yako acha kudandia dandia mwisho utaaibika.
 
Mtoa post angependa kuona swali lake likijibiwa na yeye akalizika na majibu lakin kinachoendelea!!!!
 
Anaweza kuwa katibu mkuu wa ccm na hiyo itawaduwaza wengi, siasa ni mahesabu siyo sanaa Magu atathibitisha hilo.
 
Ni kweli,lakini 'collective responsibility' inamuweka kwenye kundi la unafiki pamoja kwamba alisimamia ukweli.

ImageUploadedByJamiiForums1468053540.743946.jpg
 
Mkuu,hivi unakumbuka baada ya Lowasa kukatwa na Kamati Kuu yeye na wenziwe wawili walitamka nini hadharani? Halafu unakumbuka kauli ya Rais JPM wakati wa kampeni na baada ya kupewa cheti kuhusu kutamalaki unafiki kwenye chama na hatua atakazochukua? Unaujua msimamo wa JPM dhidi ya unafiki? Tafakari!


Kwa hali hii huyu mtu lazma ataishi kama shetani ndani ya miaka kumi,
 
Back
Top Bottom