Wana jf ningependa kujua alipo shujaa wetu ambae pamoja na usalama Wa taifa kutaka kumuua na kupambana na nguvu ya mungu na hatimae kupata kupona, yupo wapi jamani huyu mtu maana majanjawidi Wa magamba kazi yao kutesa tu.
Hivi nyie MABWEPANDE huwa mnaisika tu eti??.Ni bora upelekwe segerea au Butimba ufungwe hata miaka 30 kuliko kwenda MABWAPANDE ukakaa hata masaa 10.Hakuna haki za binadamu kule Mabwepande.
Bibi yangu mzaa babu mara ya mwisho kumuona ilikukuwa tabata alishindwa hata kutamka neno uji kwani bila meno huwezi kutamka vizuri dr wetu
Hivi sa kawa mtii na mwanachama wa chama cha mapinduzi
Bibi yangu mzaa babu mara ya mwisho kumuona ilikukuwa tabata alishindwa hata kutamka neno uji kwani bila meno huwezi kutamka vizuri dr wetu
Hivi sa kawa mtii na mwanachama wa chama cha mapinduzi
hahahahaha .. IKINGO kwikwikwikwi aise mabwepande si mchzo huko unangolewa jino na kucha bila ganzi, alafu jamaaa baada ya kipondo kapozwaaa na noti katulia mwenyewe