huyo hyo alikula kichapo cha nguvu waka mngoa meno yte na kcha ..... .hao hao wakampeleka nje kmtibu heheheh wakamrudisha wakamtiaaa mahela naona katuliaaaa....serikali kiboko usishindane naye kwikwimwi
Una uhakika na ulichokiandika.? Au unataka kuvunja amani. Chunga sana bwana mdogo. Fanya mambo yako na mambo ya usalama wa Taifa waachie wenyewe. Ni ushauri tu.
Una uhakika na ulichokiandika.? Au unataka kuvunja amani. Chunga sana bwana mdogo. Fanya mambo yako na mambo ya usalama wa Taifa waachie wenyewe. Ni ushauri tu.