Yupo safe house akisubiri kupangiwa lindoHabari wana jamvi, nimuda mrefu umepita,sijamsikia huyu bwana. Je? Amestaafu au amerudia kazi yake kimya kimya? Mara ya mwisho aliteuliwa kuwa Katibu mkuu ikulu kwa nini uteuzi wake ulitenguliwa?
Hao jamaa wanaishi kwa codes.Haiwezekani, mbona kwa cheo chake alisha vuka kupangwa lindoni?
Juz nilimuona Kule msangen kubeba mafenesi na ndiz anakwea hukoo miliman sasa sijajua kama yupo likizo au amestaafu