Daah Huu uzi umenikumbusha mbali, huyu Jamaa atakua katapeli wengi saana, Mimi nakumbuka alinitapeli Kama laki3 Hivi, aliniambia kua ana kampun ya kuchapisha vitabu, pesa nilimpa Kama Advance kwa kumwamini, badae sikuamini Kama ni tapeli, Kama bado anaendelea na kazi Hiyo basi had sasa atakua na Hali mbaya, kwa sababu ni Kama miaka minne imepita Tangu nimuoneAcheni mambo yenu huyu jamaa alishindwa hadi kulipa umeme kinondoni...hana kitu
carnte himself
Kauaji ka Chacha wangwe katakuwa kapo mitaani kanataabika kwa laana ya wangwe.Daah Huu uzi umenikumbusha mbali, huyu Jamaa atakua katapeli wengi saana, Mimi nakumbuka alinitapeli Kama laki3 Hivi, aliniambia kua ana kampun ya kuchapisha vitabu, pesa nilimpa Kama Advance kwa kumwamini, badae sikuamini Kama ni tapeli, Kama bado anaendelea na kazi Hiyo basi had sasa atakua na Hali mbaya, kwa sababu ni Kama miaka minne imepita Tangu nimuone
Mkuu usiku sana tushakuwa nyingi,baadae nakuwekea picha..Huu Uzi haunogi bila picha yake......mwenye picha yake pls.
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Huu Uzi haunogi bila picha yake......mwenye picha yake pls.
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Shukrani sana Mkuu.......ukimcheck kama fala flani lakini sifa anazomwagiwa tofauti na sura yake.
Huyu ndiye Deus Malya,very simple ana kama matege kwa mbali,wakati mwingine hupendelea kuvaa kaptula,ila mchokoze uone ni noma na ana habari nyingi za kidunia na za kweli ndo maana ni rahisi kukuingiza mkenge.
Kweli hafai.Hu
Huyu ndiye Deus Malya,very simple ana kama matege kwa mbali,wakati mwingine hupendelea kuvaa kaptula,ila mchokoze uone ni noma na ana habari nyingi za kidunia na za kweli ndo maana ni rahisi kukuingiza mkenge.
Mkuu huyu dogo kama fala ila hatari,nilipomuona kwenye gazeti nilimwambia mtu hakai ndani hata mwaka ikibidi atatolewa mlango wa nyuma,akiwa kwenye jamii ni mpole sana na rafiki sana huwezi muhisi vibaya,aliniamini sana siku moja akanionyesha passport yake,hizo viza za nchi nilizoona ndo nikajua na deal na mtu wa aina gani,halo hii nchi msiichukulie poa.Shukrani sana Mkuu.......ukimcheck kama fala flani lakini sifa anazomwagiwa tofauti na sura yake.
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Tusidharau watu kwa mwonekano,watu maboya kimuonekano ni hatar sanaShukrani sana Mkuu.......ukimcheck kama fala flani lakini sifa anazomwagiwa tofauti na sura yake.
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Ni gaidi mkubwa kakini laana ya Chacha wangwe ilimkamata ndiyo maana kachoka mbaya.Mkuu huyu dogo kama fala ila hatari,nilipomuona kwenye gazeti nilimwambia mtu hakai ndani hata mwaka ikibidi atatolewa mlango wa nyuma,akiwa kwenye jamii ni mpole sana na rafiki sana huwezi muhisi vibaya,aliniamini sana siku moja akanionyesha passport yake,hizo viza za nchi nilizoona ndo nikajua na deal na mtu wa aina gani,halo hii nchi msiichukulie poa.
Hhahahahahahaaahahhaha.........Mhhhhh .... Yule kijana wa kwenye ajali ya Chacha wangwe nimekumbuka..... Kama vile nilimuona kwenye masaburi yako juzi.
Kabisa mkuuShukrani sana Mkuu.......ukimcheck kama fala flani lakini sifa anazomwagiwa tofauti na sura yake.
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Hatari sanaHu
Huyu ndiye Deus Malya,very simple ana kama matege kwa mbali,wakati mwingine hupendelea kuvaa kaptula,ila mchokoze uone ni noma na ana habari nyingi za kidunia na za kweli ndo maana ni rahisi kukuingiza mkenge.
Usisahau kumuulizia na LUDOVICKJamani wana JF huyu kijana Deus anajishughulisha na nini baada ya kushinda rufaa yake?
Wewe ni muongo tu. Kama kweli hilo tukio la kukamatwa na polisi mkiwa wote akafanya hayo uliyosema, na alishakuambia mambo yake na kukuonesha passport yake na wewe umekuja kueleza hapa yote huoni kwamba ataipata hii stori yako na atakujua wewe ni nani hivyo atakushughulikia? Huoni unajiweka hatarini kama stori yako ni ya kweli? Au tuseme hizo stori zako na sifa za huyo jamaa ni za kweli huoni kuwa wewe ni mzembe usiefikiri kabla ya kuongea au kuandika?Mkuu huyu dogo kama fala ila hatari,nilipomuona kwenye gazeti nilimwambia mtu hakai ndani hata mwaka ikibidi atatolewa mlango wa nyuma,akiwa kwenye jamii ni mpole sana na rafiki sana huwezi muhisi vibaya,aliniamini sana siku moja akanionyesha passport yake,hizo viza za nchi nilizoona ndo nikajua na deal na mtu wa aina gani,halo hii nchi msiichukulie poa.