Yuko wapi Deogratius Kisandu?


ACT amehamia.
 
Amepanga maeneo ya kirumba Mwanza karibu na kota za mamlaka ya pamba anasema ni mwalimu wa sekondari ila kachoka sana
 

Kumbe miaka yote hii pasco hakuwa na kazi ndo maana alikuwa anakesha JF kupiga domo sio.....washauri na akina Msalani nao watafute kazi za kufanya
 
Last edited by a moderator:
Kumbe miaka yote hii pasco hakuwa na kazi ndo maana alikuwa anakesha JF kupiga domo sio.....washauri na akina Msalani nao watafute kazi za kufanya

ha ha ha ha haaaaaaa...... Mbavu zangu jamani......
 
Sahivi ana dini yake mpya ya mwanamalundi anahubiri dini
 


Nipo nimewekewa vikwazo kila kona. Yaani nadhalilishwa. Wee acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…