MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Sawa, mwache sasa apumzike.Sina shida yeyote Mkuu. Namheshimu sana huyu Balozi
Sawa, mwache sasa apumzike.Sina shida yeyote Mkuu. Namheshimu sana huyu Balozi
Kasha maliza kazi yake ya kuchomoa betri.Wakuu kama ilivyokuwa kwa Kinana, Balozi Membe hajaonekana kwenye matukio makubwa ya kitaifa kuanzia msiba wa Hayati mpaka shughuli za kitaifa zilizofuatia
Yuko wapi? Kama sikosei muda mchache kabla ya uchaguzi alienda zake Dubai na sina kumbukumbu kama alirudi tena nchini. Nadhani hisia zake za kijasusi kipindi kile zilimshawishi ulikuwa ni wakati sahihi yeye 'kukimbia'
AiseeKwa hiyo alivopewa dakika za nyongeza akaona bora autoboe Mpira wakose wote?
Ni lini aliwahi kuwa chadema?Kwahiyo membe siokamanda tena hapo ufipanii
Mtoto wa mjini huyo alifanya kaz kubwa kwa sasa ni kama hayupoKwa hiyo alivopewa dakika za nyongeza akaona bora autoboe Mpira wakose wote?