wewe mubaya huwezi hakuna mume wa mtu atakayekutaka lazima uwe muzuri na ili upewe hela lazima uwe classic
ahahaaa namtania bwana mwenyewe hana kabaki tu kudandia mabwana wa wenzie
Cyo business ila huyo baba anampenda na ameahidi kumtunza na yuko tayari Aende kwa wazazi
Wapendwa za asubuhi,
Kuna mama mmoja ni rafiki yangu kaniomba mchango wangu,ana Binti yake. Tumpe jina (Isha)ambaye ni mwalimu wa sekondari huko mkoani katika pitapita zake wakatokea kupendana na mwalimu mwenzake FRED lakini wa shule tofauti,ila yule mwenzie Fred ni mdogo kuliko Isha miaka mitatu nyuma ,isha amekua akimfuatilia Fred kwa kariBu ni mkarimu na anamjali ana roho nzuri,ila wakienda sehemu Fred lazima abaki nyuma lakini nyumBani ni mtu mzuri,akakutana na baba mmoja akamwambia mi nimekufatilieni sana na huyo mwenzako ila niamini ctaki kukuchezea nilishazunguka na ulimwengu hamna ambacho nisichokijua ntakupenda ntakujengea nyumba kwa sabaBu huyo baba ana watoto wake na Isha amekiri kweli anadeka kama mtoto kwa huyo Baba ,ila kinachomuuma Ni kuachana na fred ambaye isha anadai ni mkarimu na ana roho nzuri,afanye nini naombe utoe mchango wako
b.itches eh!! always after material things....haya bwana wacha tutulie pembeni vibabu vijizolee warembo
wewe mubaya huwezi hakuna mume wa mtu atakayekutaka lazima uwe muzuri na ili upewe hela lazima uwe classic
a different mzabzab today..........
sooo gud
hahah diferent kivipi wakati hapa ndio na comfirm theory yangu ya papuchi for sale...bidada ataka kutoa papuchi ili ajengewe lol
it was somehow different.........
mzima lakini
:shock:ahahaaaaa dah
mbona hukunijibu tena ile pm ulisema utanipatia buzi linijengee nyumba rafiki?
:suspicious:kwani fred hana pesa? walimu hawana mshahara?
mwanamuke mubaya huna shepu huna sura unahongwa 40,000 zinakutosha unavaa mitumba unasuka zile nywele za masai
kukunde iwa sha nguwe aaah! lakana na isembo elyi te...................ahaaaa yaani mpenzi wangu ni mzuri kama mimi...nipe no ya muna anipe mkorogo basi
mhm mie kila leo nasema ukweli hapa mwaniona mie mfuska haya mjionee wenyewe sasa