Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 270
- Thread starter
- #41
Mamii mzima wewe mic u sana
Last edited by a moderator:
ila ukweli watu tukubali tu kwamba sasa imekuwa ni hapendwi mtu inapendwa pochi.
Mamii mzima wewe mic u sana
hayo ndio maneno...na dada zetu basi msijifanye oh mie siwezi toa papuchi siku ya kwanza...kama jamaa kafika bei siku ya kwanza mpe tuu
Cyo business ila huyo baba anampenda na ameahidi kumtunza na yuko tayari Aende kwa wazazi
b.itches eh!! always after material things....haya bwana wacha tutulie pembeni vibabu vijizolee warembo
ila ukweli watu tukubali tu kwamba sasa imekuwa ni hapendwi mtu inapendwa pochi.
ahahaaa umenichekesha na foleni ya nmb...bwana siku moja nilikuwa naenda kikazi mkoa flani nikaambiwa hakuna benk nyingi huko so ili nisisafiri na hela nikafungua tempo a/c nmb ...aisee siku nimeenda pale nilidhani watu wapo ibadani ujue khaaa shida ziliniisha hapo hapo... nmb foleni ni nomaavibinti vyenyewe vinaona raha kupangwa kwenye foleni kama viko NMB.
ahahaaaa eti waalimu mnalipwa sh ngapi?
ila ukweli watu tukubali tu kwamba sasa imekuwa ni hapendwi mtu inapendwa pochi.
umeanza kuvuta bhange siku hizi! enh!
shauri yako utakuwa huna akili kama mimi oh!
umeanza kuvuta bhange siku hizi! enh!
shauri yako utakuwa huna akili kama mimi oh!
nilikuwa nampikia Kaunga alikuwa kwenye saba!
ehehehehehe tugawane mafao ya mahari best!
Wapendwa za asubuhi,
Kuna mama mmoja ni rafiki yangu kaniomba mchango wangu,ana Binti yake. Tumpe jina (Isha)ambaye ni mwalimu wa sekondari huko mkoani katika pitapita zake wakatokea kupendana na mwalimu mwenzake FRED lakini wa shule tofauti,ila yule mwenzie Fred ni mdogo kuliko Isha miaka mitatu nyuma ,isha amekua akimfuatilia Fred kwa kariBu ni mkarimu na anamjali ana roho nzuri,ila wakienda sehemu Fred lazima abaki nyuma lakini nyumBani ni mtu mzuri,akakutana na baba mmoja akamwambia mi nimekufatilieni sana na huyo mwenzako ila niamini ctaki kukuchezea nilishazunguka na ulimwengu hamna ambacho nisichokijua ntakupenda ntakujengea nyumba kwa sabaBu huyo baba ana watoto wake na Isha amekiri kweli anadeka kama mtoto kwa huyo Baba ,ila kinachomuuma Ni kuachana na fred ambaye isha anadai ni mkarimu na ana roho nzuri,afanye nini naombe utoe mchango wako
sasa kama ni dada yako papuchu yake waitakia nini??
btw wakigoma sokota noti ya buku 10 iwe kama kasha la ice cream halafu ifanye papuchu.
Hapana hakuna mapenzi ya kweli ila pochi tu! Huyo babu alikuwa wapi siku zote bila kuoa? Ujana alikula na nani?