Yu wapi Zitto Kabwe?

Yu wapi Zitto Kabwe?

WE ARE ANONYMOUS

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2015
Posts
217
Reaction score
284
Zitto ni moja ya vijana ninao admire siasa zake sana, ingawa ana mapungufu yake kwenye suala la kufikiri kabla ya kuamua, but ni moja ya vijana wachache wenye uwezo mkubwa wa kushawishi na kujenga hoja.
Mheshmiwa huyu now days kwenye mikutano ya ACT simuoni, kwenye midahalo simuoni, kwenye vyombo vya habari haandikwi, kwa kifupi hasikiki completely tofauti na ninavyotarajia kwa yeye kama kiongozi mkuu wa ACT.

Wale wanaojua alipo watuambie naamini jimboni kwake ni mteremko.
 
Kuna possibility mbili au zaidi.
1. Atakuwa yuko na watu wa tiss wakipanga mikakati ya kuibomoa ukawa.
Anasubiri Kuwa firstlady km mama anna akiukwaa urais wa tz
3.
4.
5.
 
Kabwe ari tete jimbon kwake.sizan kama mjengoni ataingia.....
 
Kumbe mnamkubali nakumpenda sana mwami mana hii yakutosikika kwenu sindio furaha ila majibu mtayapata 25
 
Mafuriko hayana ustaarabu.
Yanawapoteza wasaliti wote.
 
Zito ni jembe sasa hivi linalima huko kanda ya magharibi majibu yake utayaona tar 26 mwezi wa kumi.
Hakuna wakala wa manamba atakayetoboa kigoma.
 
Back
Top Bottom