jimboni Kwake maji ya Shingo. Kushinwa ni 70% hadi sasa; Jimbo Ukawa Wanabeba.
We jamaa muongo sana,,mara kafulila hali mbaya,mara nccr inaweza pata ubunge kwa kafulila tu sasa tukueleweje? Husomeki kabisaaaa,,,zito ataibuka mshindi kwa act,lkn nccr watayashikiria majimbo yao trh 25 ,na cdm watapata kama kigoma kaskazini,na the rest itakuwa kati nccr na ccm.
Kwahiyo ndo maana mnaogopa Kumuua.Zito ni mchawi alishasema akifa hamna hata panya atabaki nchi hii
Lumenyera Mbunge anaesubiliwa kuapishwa Kigoma mjini kupitia CHADEMA na UKAWA kambana wakala wa Manamba
Kumbe mnamkubali nakumpenda sana mwami mana hii yakutosikika kwenu sindio furaha ila majibu mtayapata 25
Zitto ni moja ya vijana ninao admire siasa zake sana, ingawa ana mapungufu yake kwenye suala la kufikiri kabla ya kuamua, but ni moja ya vijana wachache wenye uwezo mkubwa wa kushawishi na kujenga hoja.
Mheshmiwa huyu now days kwenye mikutano ya ACT simuoni, kwenye midahalo simuoni, kwenye vyombo vya habari haandikwi, kwa kifupi hasikiki completely tofauti na ninavyotarajia kwa yeye kama kiongozi mkuu wa ACT.
Wale wanaojua alipo watuambie naamini jimboni kwake ni mteremko.
Azunguke na mama yako atamzunguusha majimbo yote
ACT itawashangaza oct 25. Ndo Mtajua zito alikua wapi..!!