Mkuu Maria Roza kulikoni?
Mimi mbona niko Mkuu? tuliensesha shindano hapa baada ya Uchaguzi Mkuu la kumtafuta JF Man and Woman of the Year ambavyo walishinda Nyani Ngabu; Acid na Regia.
Kwa sasa niko kajificheni natafakari maisha na Kujivua Gamba.
Respect.