abuu muhammad
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 161
- 39
Yafaa astaafu siasa
Mzee huyu ameutafuta urais lakini bahati haikuwa yake. Kwenye kampeni hata hakushiriki japo alisema Magufuli ni rafiki yake.(kwenye ile script iliyosambaa wakati wa kampeini).
Prof anaonekana kuwa na uwezo na ndiyo sababu JK aliamua kumuacha kwenye baraza japo hakuwa na wizara. Rais Magufuli ukiona huyu mzee anakufaa mtumie.
Who is he to this nation by the way?
Lugha ya watu yenyewe huiwezi
Fuatilia vizuri siasa za wana mtandao kuhusiana na Mwandosya na mkoa wa Mbeya kwa ujumla.JPM nae hakuwa na kundi....
NB: hakuna bahatimbaya...rais huchaguliwa mbinguni
Nisilopenda kuhusu Mwandosya ni kwamba alikuwa Waziri treni ilipopata ajali Dodoma. Otherwise hakuna sababu yoyote kwa nini aende kujificha kijijini badala ya huendelea na kazi ya Taifa.
Mzee huyu ameutafuta urais lakini bahati haikuwa yake. Kwenye kampeni hata hakushiriki japo alisema Magufuli ni rafiki yake.(kwenye ile script iliyosambaa wakati wa kampeini).
Prof anaonekana kuwa na uwezo na ndiyo sababu JK aliamua kumuacha kwenye baraza japo hakuwa na wizara. Rais Magufuli ukiona huyu mzee anakufaa mtumie.
Alihusikaje na hiyo ajali?
Who is he to this nation by the way?
Habarini za leo wanaJF,naona weekend ndo imeanza,japo haitofautiani sana na siku za katikati ya wiki-mifuko kutoboka!
Prof Mark Mwandosya ni miongoni mwa makada wasomi wa siku nyingi ndani ya chama tawala, Chama Cha Mapinduzi - CCM!
Amewahi kugombea nafasi ya Urais mara mbili ndani ya chama chake pamoja na kwamba amekuwa akikatwa!
Toka Rais Magufuli aingie madarakani, na hata tu kwenye kampeni zake za mwaka jana 2015,Proffesor huyu ni kama ameasi wenzie,amezira sijui...kwani amekuwa mkimya sana.
Mwenye taarifa za alipo Prof Mwandosya naomba atujuze..