sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,634
- 11,691
Kwa sasa yeye ndio ameshikilia injini ya nchi hivyo ukimya wake unatia shaka.
Mara ya mwisho ilisemekana yupo Washington USA wakati wa uzinduzi wa royal tour. Lakini toka wakati huo hajasikika tena na wakati haikuwa kawaida kumaliza wiki bila kusikika au kuonekana kwenye jambo lolote toka ilipoingia awamu ya sita na sasa ni takribani mwezi.
Je bado yupo mapumziko nchi za nje au kuna tatizo lolote? Tumemmiss mzee wetu.
Mara ya mwisho ilisemekana yupo Washington USA wakati wa uzinduzi wa royal tour. Lakini toka wakati huo hajasikika tena na wakati haikuwa kawaida kumaliza wiki bila kusikika au kuonekana kwenye jambo lolote toka ilipoingia awamu ya sita na sasa ni takribani mwezi.
Je bado yupo mapumziko nchi za nje au kuna tatizo lolote? Tumemmiss mzee wetu.