Yu Wapi Mwanadada Veronica France?!

Yu Wapi Mwanadada Veronica France?!

Octoba sitiki

Member
Joined
Jul 15, 2025
Posts
20
Reaction score
30
Nmejikuta leo namkumbuka uyu mwanadada ambae alitokea kujizolea umaarufu sana kipindi kile Mjomba katuacha bila kutuaga!!
Kuna yoyote mwenye taarifa zake?
Alafu vp me naona kama yupo hai ingekuwa poa kama balozi akiungana nae wakapiga combination moja nna Imani watasepa na kijiji Chao!
 
Nmejikuta leo namkumbuka uyu mwanadada ambae alitokea kujizolea umaarufu sana kipindi kile Mjomba katuacha bila kutuaga!!
Kuna yoyote mwenye taarifa zake?
Alafu vp me naona kama yupo hai ingekuwa poa kama balozi akiungana nae wakapiga combination moja nna Imani watasepa na kijiji Chao!
Huwa ana post mara moja moja Facebook lakini mara nyingi ni za ulokole, ameumizwa sana na kifo cha Magu.
Ndio Nani huyo?
 
Nmejikuta leo namkumbuka uyu mwanadada ambae alitokea kujizolea umaarufu sana kipindi kile Mjomba katuacha bila kutuaga!!
Kuna yoyote mwenye taarifa zake?
Alafu vp me naona kama yupo hai ingekuwa poa kama balozi akiungana nae wakapiga combination moja nna Imani watasepa na kijiji Chao!
Huwa ana post mara moja moja Facebook lakini mara nyingi ni za ulokole, ameumizwa sana na kifo cha Magu.
Ndio Nani huyo?
Au ndiyo huyu Polepole?
 
Nmejikuta leo namkumbuka uyu mwanadada ambae alitokea kujizolea umaarufu sana kipindi kile Mjomba katuacha bila kutuaga!!
Kuna yoyote mwenye taarifa zake?
Alafu vp me naona kama yupo hai ingekuwa poa kama balozi akiungana nae wakapiga combination moja nna Imani watasepa na kijiji Chao!
Alikuwa ni kijana wa kiume huku akitumia jina la kike.
Walikuja kumdaka alijuta.
 
Walimmada alipotea hayupo Wala hajulikan alipo kama Nyagali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom