Yu wapi mke wa Rais Mama Salma?

Yu wapi mke wa Rais Mama Salma?

nickname

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2009
Posts
544
Reaction score
151
Jamani wana JF naomba kuuliza,yu wapi First Lady mama Salma Kikwete?.Siku hizi simsikii kabisa na hata jana kwenye maadhimisho ya miaka mia moja ya siku ya wanawake duniani sijamsikia.

Tatizo ni nini au ndoa imeingia mushkeri?Wenye taarifa zake naomba mtujulishe.
 
Hata mimi nashangaa simsikii sana siku hizi. hajajitokeza kumtetea mumewe kutokana na kibano anachokipata kwa kibano cha maandeamano ya CDM -- na hii inashtua zaidi kwa sababu alimtetea sana wakatai wa kampeni za uchaguzi mwaka jana.
 
Hakuna taarifa rasmi lakini inasemekana afya yake ilileta mushkeli kidogo,na kuna hilo la kwenda Loliondo lakini nalo halina uhakika sana. Nafikiri kwasababu ni first lady tutapata taarifa rasmi tu labda kama wataogopa watu/vigagula kummalizia!
 
mbona kamera yangu ya tega uone imempata akiwa katikati ya jiji juzi tena akiwa katika hali ya kawaida kabisa, bila msafara bila mbwembwe anapiga window shopping tu.

Jana yenyewe alikuwa uswahilini kabisa akiwapa nauli kinamama kibao waliokuwa wakielekea viwanja vya zakheem mbagala kwa ajili ya maandamano ya siku ya wanawake. sasa wewe hujamwona wapi huko? Au kwenye tukio la jana la kutoa nauli ulitaka auze sura?

Mi naona utafute picha yake ubandike bed room kwako usijepata presha kwa kummisss!!!!
 
kuna tetesi kuwa alikuwa Mwembechai kwa yule gagulo Shehe Yahya mgawa majini akifukiza majini kwa staili isiyoeleweka.
 
The main first lady of the country is around no doubt,but the rest are still in world tour.
 
mbona kamera yangu ya tega uone imempata akiwa katikati ya jiji juzi tena akiwa katika hali ya kawaida kabisa, bila msafara bila mbwembwe anapiga window shopping tu.

Jana yenyewe alikuwa uswahilini kabisa akiwapa nauli kinamama kibao waliokuwa wakielekea viwanja vya zakheem mbagala kwa ajili ya maandamano ya siku ya wanawake. sasa wewe hujamwona wapi huko? Au kwenye tukio la jana la kutoa nauli ulitaka auze sura?

Mi naona utafute picha yake ubandike bed room kwako usijepata presha kwa kummisss!!!!


madam yuko safari nje ya nchi anaterejea kesho saa 9 mchana

 
Jamani wana JF naomba kuuliza,yu wapi First Lady mama Salma Kikwete?.Siku hizi simsikii kabisa na hata jana kwenye maadhimisho ya miaka mia moja ya siku ya wanawake duniani sijamsikia.

Tatizo ni nini au ndoa imeingia mushkeri?Wenye taarifa zake naomba mtujulishe.

Atakuwa LOLIONDO anajaza madumu ile dawa ya babu aje nayo magogoni awe anagonga kama chai kila dakika
 
Jamani wana JF naomba kuuliza,yu wapi First Lady mama Salma Kikwete?.Siku hizi simsikii kabisa na hata jana kwenye maadhimisho ya miaka mia moja ya siku ya wanawake duniani sijamsikia.

Tatizo ni nini au ndoa imeingia mushkeri?Wenye taarifa zake naomba mtujulishe.



Unamtakia nini mke wa mtu? Je unafahamu waliko wanawake wote? Mbona uhulizi wako wapi?

Mimi sidhani kujadili mambo ya ndani (Binafsi) ya watu inaleta tija kwa Taifa.
 
madam yuko safari nje ya nchi anaterejea kesho saa 9 mchana


Tafadhali Size, sio mimi ninayemuulizia. mwambie nickname! loh! hapa nilipo natetemeka mpk, mpka,...mpaka nashdwa kuadika......
 
ulikuwa kichwani mwangu, tangu jana nilikuwa najiuliza hilo swali,sina sikuanzisha thread kwani nilikuwa bize nafuatilia mambo ya arsenal na barca!!
 
kipindi anajitokeza zana kwenye public kuna watu mkawa mnapiga kelele,leo haonekani mnamuulizia.
afanye lipi liwe jema?
 
mbona kamera yangu ya tega uone imempata akiwa katikati ya jiji juzi tena akiwa katika hali ya kawaida kabisa, bila msafara bila mbwembwe anapiga window shopping tu.

Jana yenyewe alikuwa uswahilini kabisa akiwapa nauli kinamama kibao waliokuwa wakielekea viwanja vya zakheem mbagala kwa ajili ya maandamano ya siku ya wanawake. sasa wewe hujamwona wapi huko? Au kwenye tukio la jana la kutoa nauli ulitaka auze sura?

Mi naona utafute picha yake ubandike bed room kwako usijepata presha kwa kummisss!!!!

ahahahahahahahaaaaa kweli we komedi loh> Mshikaji amamiss mke wa President loh!
 
Huyu hapa:

DSC09813.JPG
 
Back
Top Bottom