nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 151
Jamani wana JF naomba kuuliza,yu wapi First Lady mama Salma Kikwete?.Siku hizi simsikii kabisa na hata jana kwenye maadhimisho ya miaka mia moja ya siku ya wanawake duniani sijamsikia.
Tatizo ni nini au ndoa imeingia mushkeri?Wenye taarifa zake naomba mtujulishe.
Tatizo ni nini au ndoa imeingia mushkeri?Wenye taarifa zake naomba mtujulishe.