Kwani unashida nae?Salaam!
Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.
Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.
Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!
Karibuni [emoji120]
Ndio, ninamlipa mshahara KUPITIA Kodi YANGU,Kwani unashida nae?
Mkataba wa huo mshahara ni kwamba an report kwako kila baada ya mda gani?Ndio, ninamlipa mshahara KUPITIA Kodi YANGU,
Hivyo Nina haki kujua ikiwa yupo ofisini
Jiandaeni na salamu za rambirambi.Salaam!
Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.
Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.
Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!
Karibuni 🙏
Msijipe umaarufu ambao hamnao. Ni mke wake tu na bosi wake ndiyo anapaswa kujuwa Nchimbi yuko wapi.Salaam!
Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.
Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.
Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!
Karibuni 🙏
Mimi ni boss wake, mwenye nchi.Msijipe umaarufu ambao hamnao. Ni mke wake tu na bosi wake ndiyo anapaswa kujuwa Nchimbi yuko wapi.
Mabwege kazi yenu kubuni situation ambazo hazipo na kuziandika kwenye mitandao.
Muda wa kuwepo ofisini nikamtafute nyumbani?Ulienda kwake ukamkosa?
Ofisini kwake ulienda ukamkosa?Muda wa kuwepo ofisini nikamtafute nyumbani?
WEWE uulimwona?Ofisini kwake ulienda ukamkosa?
Yupo daily ofisini kwake Makamo wa Rais unataka kumuona kwenye vijiwe vya drafti na kahawa?WEWE uulimwona?
Tuma kapichaYupo daily ofisini kwake Makamo wa Rais unataka kumuona kwenye vijiwe vya drafti na kahawa?
Huambiwi sasa tuone hiyo haki yakoNdio, ninamlipa mshahara KUPITIA Kodi YANGU,
Hivyo Nina haki kujua ikiwa yupo ofisini
Mkuu wa usalama wa taifa TISS ilisemwa kafariki... JE ZILE TAARIFA ZINA UKWELI WOWOTE?Salaam!
Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.
Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.
Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!
Karibuni 🙏