Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 20,553
- 41,312
Ukiona wahuni wanaongea ongea ujue kuna jambo sio bure...
Kwani kuna nini??
Hata sijuiMkuu wa usalama wa taifa TISS ilisemwa kafariki... JE ZILE TAARIFA ZINA UKWELI WOWOTE?
Tangu ugongewe una makasiriko.Ulienda kwake ukamkosa?
Lema:Wakimaliza kwa wapinzani,wataangukiana wao kwa waoSisi tunaomjua Dr Nchimbi hatuna wasiwasi kabisa kuhusu uwepo wake!vita tunayopigana ni ngumu mno!hii part ya kimyakimya💪💪