Yu wapi Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi?

Yu wapi Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
25,938
Reaction score
41,098
Salaam!

Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.

Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.

Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!

Karibuni 🙏
 
Salaam!

Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.

Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.

Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!

Karibuni
Kwani unashida nae?
 
Salaam!

Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.

Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.

Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!

Karibuni 🙏
Jiandaeni na salamu za rambirambi.


Movement ya Samia kuwapoteza wakristo wenye ushawishi CCM na Serikalini hasa Wakatoliki inaendelea kwa kasi sana.

Sasahivi mtasikia ameumwa amezidiwa na kufa hapa Dodoma.
 
Salaam!

Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.

Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.

Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!

Karibuni 🙏
Msijipe umaarufu ambao hamnao. Ni mke wake tu na bosi wake ndiyo anapaswa kujuwa Nchimbi yuko wapi.

Mabwege kazi yenu kubuni situation ambazo hazipo na kuziandika kwenye mitandao.
 
Msijipe umaarufu ambao hamnao. Ni mke wake tu na bosi wake ndiyo anapaswa kujuwa Nchimbi yuko wapi.

Mabwege kazi yenu kubuni situation ambazo hazipo na kuziandika kwenye mitandao.
Mimi ni boss wake, mwenye nchi.
 
Sisi tunaomjua Dr Nchimbi hatuna wasiwasi kabisa kuhusu uwepo wake!vita tunayopigana ni ngumu mno!hii part ya kimyakimyađź’Şđź’Ş
 
Salaam!

Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.

Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.

Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!

Karibuni 🙏
Mkuu wa usalama wa taifa TISS ilisemwa kafariki... JE ZILE TAARIFA ZINA UKWELI WOWOTE?
 
Back
Top Bottom