Salaam!
Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.
Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.
Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!
Karibuni 🙏
Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa.
Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu.
Mwenye taarifa juu ya alipo Ndugu Emmanuel Nchimbi anifahamishe!
Karibuni 🙏