Nilishapitia nyuzi za lara 1 (last seen yake jana) so inaonekana yupo
Mbwembwe zake zinataka kufanana na za Money Penny
Narudiiiii soon!Kaolewa anahudumia ndoa na familia...Lara numero uno popote ulipo jitokeze
Sent using Jamii Forums mobile app
I missed you dear
I am coming back! BIGGER AND BETTERUsifananishe vitu vya ajabu na Lara Moko!
LaraMoko alikuaa ana turn the whole JF upside down!
Money Penny anafanya catching up game kwa Lara Moja!
Actually sahivi mtoto wa KIMATAIFA! Nimetuma border zote muhimuWakongwe humu mtamkumbuka huyu mwanadada wa kuitwa Lara 1, "kubwa la maadui" . Posts zake ulikuwa huchoki kuzisoma, full of wit, mtoto wa mjini haswa! Sijamuona kitambo humu. Nimemiss uwepo wake.
NIPO NIMEACHIKA TALAKA 3! Najipunguza mwili kwanza! NARUDIIIII KUDANGAAA HUMU UPYAAAAA! MJIPANGE! Mama Lao narejea!
I am coming back! BIGGER AND BETTER
I am coming back! BIGGER AND BETTER
kunidanga sio kesi , kesi ni utaweza kunihimili mpka kuipata hyo chenchi yangu!? usikute ushachoshwa huko hata kiuno kimekua gogo hahaaaNIPO NIMEACHIKA TALAKA 3! Najipunguza mwili kwanza! NARUDIIIII KUDANGAAA HUMU UPYAAAAA! MJIPANGE! Mama Lao narejea!
Eagerly waiting big dada. .NIPO NIMEACHIKA TALAKA 3! Najipunguza mwili kwanza! NARUDIIIII KUDANGAAA HUMU UPYAAAAA! MJIPANGE! Mama Lao narejea!