Yu wapi Hawa Ghasia? Mwanamke mwenye tashtiti kama zote

Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana: Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo

Lkn linapokuja suala la ukifutu, tambo na nyodo, Hawa Ghasia alikuwa sawa na Makonda. Alijivika ukubwa usiomithilika. Hakumsheshimu waziri mkuu mhe Pinda wala waziri yeyote yule.

Za chini chini zinadai kwamba hii ndiyo sabab ngosha alipopata kiti kikubwa alimsulubu sana Ghasia. Kwasabb Ghasia alimsonya mara nyingi tu huyu ngosha akiwa waziri.

Anyway, nauliza tu. Yu wapi mwanamke huyu kwa sasa?
Kwa vile yeye na jpm zilikuwa haziivi,atapata uteuzi soon,mwendo wa kulipia.
 
Nikiruhusiwa kufanya ulinganifu basi naweza kusema Hawa Ghasia alikuwa ndiye Makonda wa awamu ya nne. Tofauti yao ni ndogo sana: Makonda alipora na kuvamia mali za watu Ghasia hakufanya hivyo

Lkn linapokuja suala la ukifutu, tambo na nyodo, Hawa Ghasia alikuwa sawa na Makonda. Alijivika ukubwa usiomithilika. Hakumsheshimu waziri mkuu mhe Pinda wala waziri yeyote yule.

Za chini chini zinadai kwamba hii ndiyo sabab ngosha alipopata kiti kikubwa alimsulubu sana Ghasia. Kwasabb Ghasia alimsonya mara nyingi tu huyu ngosha akiwa waziri.

Anyway, nauliza tu. Yu wapi mwanamke huyu kwa sasa?
Hawa alikuwa na mganga mkali sana... inawezekana huyo mganga ameishakufa. Note this; wagombea wote walishindana na Hawa ndani ya chama katika chaguzi 2 za mwisho walikufa katika mazingira ya kutatanisha" kimauzauza tu
 
Mtetezi wa tozo za korosho asie yumba,alimchana jiwe live,na akajiuzulu nafasi yake ya mwenyekiti wa bajeti bungeni walimbembeleza amalize muda wake akakataa,walichoamua wakampa ushindi wa CUF,eti kumkomoa sirudi bungeni. yan ilikuwa ni visasivisasi tu!mara, kama hamunichagui sileti maendeleo.
 
Nakumbuka aliwai kuja sehemu niliyokua natolewa ujinga...akatugharamia kila kitu. Nilitaka nirushe akagambo aisee
 
Marehemu Magu Mwenyezi Mungu amrehemu huko aliko....aliifaa sana hii nchi hawa wajinga walishaanza kushika adabu, maana alikuwa haangalii usoni ukizingua unaweza kwenda jela au kuwa blackmailed.....lazima ukae kwa adabu bila kujitingishatingisha....kama kuna mtu mkewe alitaka kupigwa pingu busara za lupaso zikaokoa jahazi.....yule ndio Nzilakende aka mwamba call him what you can call....

InshaAllan kwa uwezo wa Mungu kitapatikana chuma kingine soon....hii nchi wajinga wengi sana wanapaswa kushikishwa adabu na watambue nchi ni mali ya watanzania zaidi ya 60mil...
 
Hivi vijitu vina ujinga uliopitiliza na kuiona hii nchi ni ya kwao na familia zao na wengine ni wakimbizi tu hapa ndio maana hata yakikaa yanawaza kuiba na kufanya upumbavu pasipo kuwaza hata kwa dk kama kuna watanzania zaidi ya 60mil wanaohitaji huduma bora za Afya, shule na elimu bora, miundombinu bora na maisha bora.....
 
Back
Top Bottom