Mfamaji,
Unanifurahisha sana hiyo avator yako! Yaani hesabu inachanganya hadi balaa.....ndivyo ilivyo kwa JK: He is just confused and doesn't know whther 2X2 = 4 or =-4!
Du!
Jamaa si mwanafamilia wa Kikwete.....kampeni mwaka huu zinasimamiwa na Kuratibiwa na Familia further more miraji hapendi kwaya na Taarabu anapenda Bongo flavor....So Komba Out..........Aint sure kama atarudi mjengoni.......