Yu Wapi Askari Mkama Sharp?

Mambo ya Daslam, nimekumbuka wauza minazi pale ubungo mataa pamoja na soko kubwa tu la bidhaa mbalimbali(ilipo stendi ya daladala), kulikuwa na hoteli opposite na Olicom pale Tanesco wale Wapemba walikuwa wanauza Kashata na kalimati balaa.
 
Dah! Sharp... kitambo sana! Sie watoto wa Temeke habari ya Sharp ilikuwa Taifa bhana!! Ilikuwa Sharp akitimba Taifa, haina kuruka ukuta hiyo!!
 
Mara ya mwisho kumuona alikuwa osteray polisi miaka ya 2004/2005 alikuwa na cheo cha major(staff sajent),kwa kijeshi
Miye pia nolimuona ostabey 2002 alikuwa anatutambia yeye ni meja anapata lak 2 hapa mjini hakuna wa kumbabaisha.
 
Sharp alikufa kitambo SANA......adhanidakaga na akanileta kituo cha polisi mtambani badala ya kunipekeka obay.....wakanitoa hela....
Sharp alikuwa kwenye payrol ya wauza ng@da Kino tena aliwalinda SANA...
Nlikuja onana naye tena Yuko hoi anaumwa maana ilisemekana aliukwaaaaa.....akanipiga mzinga nkamkaziaaa

OVA
 

POLE SANA MKUU MKAMA SHARP AMBAYE ALIKUWA AKITEMBEA SANA MITAA KARIAKOO KONGO MASIMBAZI AKIWA NA PINGU KIRUNGU PISTOL NA ALIKUWA FIT KWA NGUMI JUDO KARATE NA MENGINEYO ALISHAFARIKI MIAKA MITATU AU MIWILI ILIYOPITA TENA ALIFARIKI GHAFLA KWA HOMA KALI NA KAMA NAKUMBUKA VIZURI AMEFARIKI AKIWA NA CHEO CHA NYOTA MOJA AU SSGT. NIKO TAYARI KUKOSOLEWA KAMA WASIFU WAKE NIMEUKOSEA ILA NI HAKIKA ALISHATUTANGULIA MBELE ZA HAKI.
 

MAREHEMU MKAMA SHARP
 
MKAMA SHARP ALISHAFARIKI KARIBU MIAKA MITATU ILIYOPITA NA ALIZIKWA KWAO MKOANI MARA ILA ALIKUWA SHARP KWELI .
 
Alifariki alipokuwa anatoka kuchukua nyota alikuwa muda mwingi yupo kituo kidogo cha Kinondoni Mtambani.
 
Alifariki baada ya kuugua kwa muda mrefu
 
Dah!Mkuu umenikumbusha mbali sanaaaa,wkt nasoma primary pale uhuru siku moja nikasukumwa kwenye daladala nikaanguka kumbe Mkama Sharp alikuwa hapo,aisee abiria wote walishushwa gari nzima tukapakia wanafunzi.Dah siwezi msahau huyu bwana
Kumbe mdogo sana
 
Aliukwaaaa maana YULE alikuwa chapa chapa SANA....

Ova
 
Interesting story police wa leo mtakumbukwa kwa lipi? Hata jeshi la magereza alikuwepo mmoja mfia jeshi huyu alikuwa mkufunzi chuo cha magereza kiwira mwenye story zaidi za huyu jamaa aje atiririke. Alikuwa na maarufu kwa jina la SEITUNDU KAMANDA NGUVU YA NYANI.
 
ASKARI MWINGINE ALIYETUSUMBUA ALIKUWAGA HAPI CENTRAL MAARUFU KAMA KOBA KABANDA....ALIKUWA ANAJIFANYA NGUMI JIWE ASHANINYANGANYA SIM MITAA YA AZAM KWA YAHYA .....HIVI BADO YUPO CENTRAL.

OVA
 
Mara nyingi wanaishia kuwacha misifa....askari inategemea unaishi Vp n'a jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…