Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
- Thread starter
-
- #21
Unataka kusema Museveni naye katumwa na wazungu ?Wao hawana makosa kuna walio nyuma yao ambao kamwe hawaitakii mema Africa, sio rahisi kuliona hili kwa mtu mwny upeo wa kawaida, inahitaji jicho la tatu!
Unamwonea nani aibu, wazungu? Kwani huko kwao hakuna dictators? Mnashangaza sana. Just another inferiority complex from regular a African men that know nothing.Sijivunii kabisa kuwa mwafrika , naona aibu sana !
Huna lolote !Unamwonea nani aibu, wazungu? Kwani huko kwao hakuna dictators? Mnashangaza sana. Just another inferiority complex from regular a African men that know nothing.
pamoja na yote, Ugandans wana furaha kuliko watz. sasa linganisha ni rais yupi ni wa muhimu kwa wananchi wake kati ya rais wako na wa uganda. hapo ukipata jibu lete mrejesho kama hauwaogopi watu wasiojulikana wenye noah nyeusi. Mungu mponye Tundu LisuAfrika inakera sana,uroho wa madaraka inaitesa Afrika kwakweli
Sijivunii kabisa kuwa mwafrika , naona aibu sana !
EAC itavunjika tena muda si mrefu , hii jumuiya ni hasara kubwa sana !Hivi mbona senegela yule mjinga walimfungia kazi chapu tu akalala mbele.... umoja mwingne wa ajabu sana coz hata wenzake wanajua nao watafanya kama yeye
Hujui loloteHuna lolote !
Mwenzako yuko Ulaya kama mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anatuwakilisha kwenye kikao na Umoja wa Ulaya kuhusu zile EPA.Kitendo cha Rais wa Uganda kulazimisha kutawala milele kwa gharama yoyote , kinafedhehesha sana Jumuiya ya Africa Mashariki na kudhalilisha mno wananchi wa Uganda .
Ikumbukwe kwamba jambo hili la aibu linafanyika baada ya njama za Museveni za kumrithisha urais wa nchi mtoto wake wa kiume kugonga mwamba , jambo hili baya litasababisha machafuko nchini Uganda na kusababisha mzigo wa Wakimbizi kwa nchi za jumuiya .
Ni wakati sasa kwa jumuia za kimataifa kuingilia kati ili kuepusha mauaji ya kimbari .
Nakulilia AfricaMwenzako yuko Ulaya kama mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anatuwakilisha kwenye kikao na Umoja wa Ulaya kuhusu zile EPA.
Juzi pia nimesikia Kalonzo Musyoka akimsifu jamaa eti anastahili kuwa Rais wa kwanza wa Afrika Mashariki.
Miafrika ndo tulivyo!
Magufuli nae ni rais wa maisha.....jiandaeKitendo cha Rais wa Uganda kulazimisha kutawala milele kwa gharama yoyote , kinafedhehesha sana Jumuiya ya Africa Mashariki na kudhalilisha mno wananchi wa Uganda .
Ikumbukwe kwamba jambo hili la aibu linafanyika baada ya njama za Museveni za kumrithisha urais wa nchi mtoto wake wa kiume kugonga mwamba , jambo hili baya litasababisha machafuko nchini Uganda na kusababisha mzigo wa Wakimbizi kwa nchi za jumuiya .
Ni wakati sasa kwa jumuia za kimataifa kuingilia kati ili kuepusha mauaji ya kimbari .
Kwa maneno mengine unasapoti anachofanya M7 Uganda....Unamwonea nani aibu, wazungu? Kwani huko kwao hakuna dictators? Mnashangaza sana. Just another inferiority complex from regular a African men that know nothing.
Astaghafillulah !Magufuli nae ni rais wa maisha.....jiandae