JMipicha
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 704
- 1,096
Habari wana tech?
Mimi ni miongoni mwa youtuber chipukizi. Nilifungua account kwa ajili ya mipango yangu tu ya kufundishia watu mambo mbalimbali.Japo bado haijakidhi vigezo vya Youtube ili nilipwe ila napambana.
Nilikuwa nataka fans ambao ni youtuber ili tupeane uzoefu kwenyee hili pia tu inspire vijana wengine kujiunga kwa mafanikio yao ya baadae
Comment madini sasa.
Mimi ni miongoni mwa youtuber chipukizi. Nilifungua account kwa ajili ya mipango yangu tu ya kufundishia watu mambo mbalimbali.Japo bado haijakidhi vigezo vya Youtube ili nilipwe ila napambana.
Nilikuwa nataka fans ambao ni youtuber ili tupeane uzoefu kwenyee hili pia tu inspire vijana wengine kujiunga kwa mafanikio yao ya baadae
Comment madini sasa.