Hapana iokote ipo vzuri shda tu ww ulitaraji vingne na imekuja kivingne kabsaa ..IOKOTE audio nzuri ila video wamechemka,yaani yale mavazi aliyovaa maua plus na make up ameonekana kama chizi hata location zake hazivutii na yule jamaa aliyeshirikishwa kapooza.
Yan hamna kitu...maua si lazima awe anaonekana kwenye video!!IOKOTE audio nzuri ila video wamechemka,yaani yale mavazi aliyovaa maua plus na make up ameonekana kama chizi hata location zake hazivutii na yule jamaa aliyeshirikishwa kapooza.
Video nimetoka kutizama na wadogo zangu wawili na hamna aliyeipenda,audio kali ila video wamechemka.Hapana iokote ipo vzuri shda tu ww ulitaraji vingne na imekuja kivingne kabsaa ..
Lavalava katisha mzee
Ndg hujui usanii maana yake mtu kapga pesa hapo ...Video nimetoka kutizama na wadogo zangu wawili na hamna aliyeipenda,audio kali ila video wamechemka.
Mbona una hasira,sasa hizo haja zinaingiaje hapo ,ili uweze kupiga pesa Youtube basi Video yako lazima iwe nzuri,sababu quality na uzuri wa Video ndio inaipa thamani kubwa nyimbo yako Youtube hata watu wanaitazama mara kwa mara na views wanakuwa wengi.Hivi hujui baadhi ya nyimbo watu wamezipenda sababu ya video au umesahau Nyimbo ya CAPO SNOOP -PRAKATATUMBA audio ya kawaida ila video ndio imeikuza nyimbo na kuwa kubwa.Mimi mtizamo wangu audio nzuri,ila video mbovu.Ndg hujui usanii maana yake mtu kapga pesa hapo ...
Ndivyo inavyopaswa asee au ulitaka kuona pale anabanwa na haja?