'You're playing with fire,' Russia warns Britain at U.N. Security Council meeting

Cicero

JF-Expert Member
Jan 20, 2016
2,924
3,072
UNITED NATIONS (Reuters) - Russia told Britain at the United Nations Security Council on Thursday that “you’re playing with fire and you’ll be sorry” over its accusations that Moscow was to blame for poisoning a former Russian spy and his daughter.

It was the second showdown between Russia and Britain at the world body since the March 4 nerve agent attack on Sergei Skripal and his daughter Yulia in an English town. Russia, which requested Thursday’s council meeting, denies any involvement.

The attack has had major diplomatic ramifications, with mass expulsions of Russian and Western diplomats. The 15-member Security Council first met over the issue on March 14 at Britain’s request.


“We have told our British colleagues that ‘you’re playing with fire and you’ll be sorry’,” Russian U.N. Ambassador Vassily Nebenzia said during a more than 30-minute speech that attempted to poke holes in Britain’s allegations against Moscow.
 
Russia hana ubavu huo wa kumtisha Britain. Naamini wote wanazo Nuclear arsenals na kama wakipigana, Russia asitegemee ushindi kwa sababu Brits anao washirika wengi including USA. I guess hayo ni maneno ya kwenye kanga...
 
Russia hana ubavu huo wa kumtisha Britain. Naamini wote wanazo Nuclear arsenals na kama wakipigana, Russia asitegemee ushindi kwa sababu Brits anao washirika wengi including USA. I guess hayo ni maneno ya kwenye kanga...
Hebu kafatilie nani ana nuclear nyingi duniani alaf ndo uzungumze
 
Screenshot_2018-04-01-21-52-24.png
 
Sasa unasema Russia anamuogopa nani??? Hebu soma nyakati huyo Putin KGB, mwehu balaa haogopi, ukimtisha kakupa eti amuogope Britain kisa nuclear hahahahahaha
 
Russia hana ubavu huo wa kumtisha Britain. Naamini wote wanazo Nuclear arsenals na kama wakipigana, Russia asitegemee ushindi kwa sababu Brits anao washirika wengi including USA. I guess hayo ni maneno ya kwenye kanga...
Kwa hiyo nchi za magharibi haziwezi kupigana na Russia bila washiraka? kweli Russia noma.
 
Bila shaka Russia anaiogopa US
Iraq ya Sadam Hussein iliivamia Kuwait na kuichukua - Marekani na WASHIRIKA wakaungana kwenda kuitoa Iraq KIVITA
Urusi ya Putin Vladimir imeichukua jimbo ila CRIMEA - Marekani na WASHIRIKA wameungana kuiwekea vikwazo vya UCHUMI
nipe sababu zinazoifanya Maerekani isiipige Russia wakati makosa ya Iraq na Russia yanafanana. Kuwait na Crimea.
 
Iraq ya Sadam Hussein iliivamia Kuwait na kuichukua - Marekani na WASHIRIKA wakaungana kwenda kuitoa Iraq KIVITA
Urusi ya Putin Vladimir imeichukua jimbo ila CRIMEA - Marekani na WASHIRIKA wameungana kuiwekea vikwazo vya UCHUMI
nipe sababu zinazoifanya Maerekani isiipige Russia wakati makosa ya Iraq na Russia yanafanana. Kuwait na Crimea.
Screenshot_2018-03-24-18-35-13.png
 
Back
Top Bottom