"Your Private Message Was Not Delivered to ...... ".

Simplicity na nukta kwa mbele🙄
 

hahahahahahaaaa,,,,u raise me up,so that i can be,wewe umefundwa na kwamtoro ????
 
Last edited by a moderator:
Nimeupenda wimbo tu!!! Hayo ya PM mods watakusaidia ili uweze kuufikisha ujumbe wako kwa muhusika
 
Simplicity habari yako Ndugu yangu.

Kwanini PM isimfikie? Hebu fuatilia hilo.
 
Last edited by a moderator:
Simplicity habari yako Ndugu yangu.

Kwanini PM isimfikie? Hebu fuatilia hilo.

Sijui nimegusa mutu ya mwenye Jf? Habari za Ar? Vipi ulifika salama mkuu? Akina babe S hawajambo? Mtambuzi naye alinitonya kwamba Kaundime alikufanyia ndivyo sivyo, natumaini ulijionea kuwa mitoto ya Darisalama sio mchezo! Cantalisia vipi amezoea mji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…