You think fat is ugly???

You think fat is ugly???

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
ATT47278.jpg




ATT47279.jpg




ATT47280.jpg




ATT47281.jpg




ATT47282.jpg




ATT47283.jpg




ATT47284.jpg




ATT47285.jpg




ATT47286.jpg



ATT47287.jpg
 
Mh! Hawa bado wanawaza kutembea??? Dunia Imefika Mbaaaaaaaali!
 
Mh! Huyu mpaka anatia kinyaa. Huwa napenda videmu mchongoma vyenye "AC" huyu amezidisha mno. unaweza kutoka baada ya mchezo na mawazo yakaanza hapo hapo mpaka unakufa. Mgonjwa huyo si bure!
 
ooops, nasikia kichefuchefu....ni mifupa mitupu...
 
Aagh nasikia kichefuchefu nataka kutapika najisikia vibaya kama yule jamaa aliyejisikia vibaya alipozama chumvini ahhhh puuu natapika jamaani
 
wazungu wanamambo ya ajabu,ndugu zetu wa somalia, japokuwa hawana chakula lakini hawajakonda hivi.
 
Sasa nimeamini kweli kabisa kwamba UKIMWI upo!!!!
 
Hapo ukila huo mlo, utaambulia kuvunja mifupa na kuvuta ngozi tupu.
 
hawa ni wagonjwa sasa...ila unene mbaya jamani,mtu unakuwa huna mvuto hata kwa mkeo au mumeo jamani wavalia na kuvulia chooni inahusu!!!
 
inatia kichefuchefu lkini ahsante kwa kuonyesha upendo wa kweli kwa mpendwa wako... nahisi ilikuwa model show ya wahusika wenyewe. hii kali sijawai ona....!
 
Du asee dunia ina mambo, mi nawashangaa wanaowatumia kuonyesha mavazi yao, yananunuliwa kweli!
 
Back
Top Bottom