wote tumeandikiwa ivo "YOU HAVE NOT SECURED LOAN kwo tuendelee kusubr walopata ni wale wa medicine tu
msaada jaman mi nmeingia kwenye account yangu ya heslb bdo iko vilevile haijabadilika chochote tatzo ni nini???
msaada jaman mi nmeingia kwenye account yangu ya heslb bdo iko vilevile haijabadilika chochote tatzo ni nini???
Sio wote tulioandikiwa hivyo....kuna mtu nakaa naye hapa kapata mkopo na hayupo M.D