You can fail as a man but never fail as a father

You can fail as a man but never fail as a father

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
34,061
Reaction score
79,423
Hamjambo!

Unaweza kufeli kama Mwanaume, kukosa pesa, kushindwa kuyaweka maisha yako kuwa mazuri. Lakini kamwe usikubali kushindwa kuwa Baba Bora.

Kumpa mtoto wako, damu yako upendo hakuhitaji uwe na mamilioni ya peas. Hakuhitaji uwe na gari, hakuhitaji uwe na ghorofa.
Kunahitaji upendo wako.
Uwepo wako,
Macho yako,
Uangalizi wako,
Mafunzo yako,

Kwa leo ni hayo tuu!
 
Ngoja tusubirie visingizio na lawama.
 
Back
Top Bottom