Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

Yesu alikufanyia nini maishani kwako?

Ur so obsessed with spiritual cult, I always see you in that way.
Sio kweli, nikikutana navyo nasikiliza kidogo naondoka nikibaki na maswali nashare nanyi tu ila siko deep kiasi hicho lols
 
Nimekuwa nikisikia shuhuda nyingi redioni kuwa yesu amebadilisha maisha yangu, nilikuwa na madeni yote yamefutika. Mwingine alikuwa na magonjwa yaliyoshindikana lakini alipona.

Wadau, mbona kwangu haya mambo na hizi stori logically hazimake sense?
Inahitaji uwe na imani mkuu!
 
Nimekuwa nikisikia shuhuda nyingi redioni kuwa yesu amebadilisha maisha yangu, nilikuwa na madeni yote yamefutika. Mwingine alikuwa na magonjwa yaliyoshindikana lakini alipona.

Wadau, mbona kwangu haya mambo na hizi stori logically hazimake sense?
Yesu amfanyie nani nini wakati alishindwa kujiokoa akaishia kulia kama mtoto? Acheni uvivu. Yesu mwenyewe. kawaasa kuwa hakuja kw ajii ya washenzi wote isipokuwa wale wa Israel sawa na moody aliyekuja kwa ajii ya makureish washenzii wenzake.
 
Hapa nilipo ni kwa Neema yake ... nisingekuwa hai leo . Amenipa nafasi ya kutubu na kumrudia yeye ili nipate uzima wa milele ... ameniponya , Amenipa heshima . Na kunifanya Mkuu tena , bila Yesu nisingekuwa hapa nilipo amenipa kila kile nilishomuomba
 
Back
Top Bottom