Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
baada ya kugundua ukweli huu,''Naam kwakua nasi tumeonekana kuwa mashahidi wa uongo,kwamaana tulishuhudia kuwa mungu alimfufua yesu kristo wakati hakumfufua,imani yetu ni bure tungalimo katika dhambi,kama sisi tumemtumainia kristo sisi tu maskini kuliko Waaatu wooote.Kujikatia tamaa kivipi!?