Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,594
Ha ha ha! Ilisaidia kupiga stori bila wasiohusika kuelewa.Ni kweli na sisi tulikua na mtindo wa tofauti ,tunaweka "CHI" kila baada ya herufi mbili zinazounda neno mfano neno wewe ,wechiwechi basi tukiwa tunaongea mtaani wazazi wanashangaa hawa watoto ni matahahira nini ,utoto raha sana
Mwenyewe nilishangaa hahahaMkuu nadhani hapo ulikuwa unataka kumaanisha 'kazini' kwake, sio 'ofisini' kwake
Hahaha kwechlichi wachilichikuchiwachi hachiwachiechilechiwichi kichituchiHa ha ha! Ilisaidia kupiga stori bila wasiohusika kuelewa.
Kamanda wa ukawaNdugu zangu naombeni mnisaidie kitu..... hivi huyu Yeriko Nyererenina nani hapa Tanzania make watu wengi huwa wanamtaja mara kwa mara.. na pia itakuwa vizuri kama yeye yupo hapa jamii forum ajielezee kidogo... kwani natamani kumjua tu, kwani nimekutana na jina lake mara nyingi katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Ujumbe kama ule ulianza kutolewa na Nyumbu wa Cdm hapo kablaHii Nchi ya ajabu sana aliyebeba bango la kibaguzi siku ya Mapinduzi anaonekana shujaa na hakuna mamlaka zilizomchukulia hatua lakini kwa ujumbe ule ni uchochezi tosha.
Hahaha kwechlichi wachilichikuchiwachi hachiwachiechilechiwichi kichituchi
Kwani wewe mkewe yerickoNyumbu ni mama yako Mpazi.
Bazazi mkubwa wewe.
In ilewk obmam ignem anasIruziv, anaetopemut eesia.
Haha hapa umeshanipoteza ngoja nifikirie kwanzaHa! Ha! Ha! Wagagagigikoko hiyo ni kinka kinka nkoi.