Selwa
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 668
- 691
Ila hawa matapeli wawili wanafurahisha. Bandugu hakuna usalama anaejianika kwamba ni usalama chahali ni tapeli…
Ukiona mtu anajianika kwamba ni usalama elewa kwamba huyo ni kishoka tu, mana ukijianika tu ndo mwisho wako, watu wa usalama wanapigwa vita sababu watu hawajui wanaripoti kwa nani, kila idara serikalini ina kitengo cha usalama, kwa Tanzania (na nchi nyingi nyingine),
Kila idara, wizara, au taasisi ya serikali huwa na kitengo cha usalama, hao ndo huwa wanachoma upigaji. Sasa ujianike unadhani utakuwa salama? akishajulikana, bro Wataruka na wewe, nimekataa kuamini chahali ni usalama na hata Yericko kujaribu kutuhakikishia kwamba chahali ni usalama ni dhahiri hawa wote ni matapeli.
Ukiona mtu anajianika kwamba ni usalama elewa kwamba huyo ni kishoka tu, mana ukijianika tu ndo mwisho wako, watu wa usalama wanapigwa vita sababu watu hawajui wanaripoti kwa nani, kila idara serikalini ina kitengo cha usalama, kwa Tanzania (na nchi nyingi nyingine),
Kila idara, wizara, au taasisi ya serikali huwa na kitengo cha usalama, hao ndo huwa wanachoma upigaji. Sasa ujianike unadhani utakuwa salama? akishajulikana, bro Wataruka na wewe, nimekataa kuamini chahali ni usalama na hata Yericko kujaribu kutuhakikishia kwamba chahali ni usalama ni dhahiri hawa wote ni matapeli.