Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
"Watu wengi wamekuwa wakipotosha No Reforms No Election ya Freeman Mbowe ilikuwaje na No Reforms No Election ya Tundu Lissu ikoje. Wanatumia udhaifu wa wanachama kwamba haya yote yalikuwa yameanzishwa na Mbowe na ndiyo hayahaya, si kweli"
Aliyekuwa Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Yericko Nyerere akizungumza hivi karibuni katika Makao Makuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) mkoani Dar es Salaam kabla ya kutangaza rasmi kuhamia CHAUMMA.
Aliyekuwa Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Yericko Nyerere akizungumza hivi karibuni katika Makao Makuu ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) mkoani Dar es Salaam kabla ya kutangaza rasmi kuhamia CHAUMMA.