Yericko Nyerere kizimbani

Kibatala mweupe tu.Alizimwa na Tulia kwa 30 minutes kwenye hoja ya mita 200.

Halafu kuwa na mawakili wazuri sio kushinda kesi.

Angalia jopo la akina Mramba na Yona lakini walikwenda na maji.

Angalia jopo la mawakili la kina babu seya mzee wenu marando ndani lakini wamekula mvua.

Kuwa na mawakili wazuri kunaweza kukusaidia kisaikolojia usipate kiharusi wakati kesi inaendelea au kidoogo wanaweza kusababisha ukapunguziwa miaka dogo .
 
Hio ni kazi ya Mahakama.

Chunga tu na wewe usijedakwa na Dola kwa kuiona Serikali haina busara.

Huyo Bwana amesema kweli, huna haja ya kumtisha. Hayo mashtaka ni mepesi sana, hakuna kesi hapo.
 

Mbona siuoni ungo wake?,hayo ndio yanayotusibu
 
Yericko amechaguliwa na Taasisi kubwa duniani kwenda kuwakilisha vijana wa kitanzania kwenye kongamano la wataalamu vijana duniani wa IT ataenda Stockholm Sweden January.
 
Sio Jela za bongo kijana.
Kamuulize Yericko ndio atakupa habari kamili.
Uraiani mambo ya Wanname kuoana Ni ya Hiari.
Huko Hiari hakuna.

Ukipendwa tu we kaanze kupaka Wanja kabisa.

Ushawahi kupaka wanja nini?
 
Leo huyu fisi kawa mfanyabiashara?? Mi nilijua yeye ni jasusi

Majasusi si wajinga kiasi kile,wanafanya mambo yao kwa usiri mno na ngumu kujulikana,akija kujulikana mnaanza kushangaa ndo mnamwona,yule alikuwa mropokaji tu.
 
Ni njia nzuri Yericko kuelekea kuwa mwanaharakati kamili heshima kwako Yericko,achana nao hao ma ccm ya lumumba , Cdm ni chama makini na kinawanasheria makini na ndio maana ma ccm yanawabambikia wana chadema vijikesi vingine havina kichwa wala miguu lakini unakuta chama makini cdm kinazidi imalika.Yrecko cdm. Cdm yericko mapambano yanaendelea, mm cipendi ccm na watu wke ninajivunia kuto kuipenda ccm
 
Majasusi si wajinga kiasi kile,wanafanya mambo yao kwa usiri mno na ngumu kujulikana,akija kujulikana mnaanza kushangaa ndo mnamwona,yule alikuwa mropokaji tu.
Mkuu waswahili wanasema "hapo umegusa ndipo"
 
Teh teh teh.Mkuu hujasikia pombe magufuli kasema anataka Kufuta Ruzuku za vyama vya upinzani?Sasa hio pesa wapate wapi? Labda wazee wa viroba kina matumbo na Nicholas waanzishe mradi mpya wa Chibuku pale Mbagala.
Bahati mbaya sana mambo ccm walifanya wakidhani wana kaba upinzani yanawafanya waone ngumu ya kuongoza nchi.Bahati mbaya sana Yericko ni mfanya biashara na wengine wengi tuu humu ndani.Si km nyie mnaoishi kwa fadhila na wizi wa ccm.
 
Last edited by a moderator:
hakuna kesi hapo,Yeriko anashinda asubuhi,matamko ya kisiada hayawez kumfunga MTU kama Luna Uhuru Wa mahakama
 
Hivi kusema Watanzania wakumbuke mateso yao na wafanye maamuzi sahihi kwenye uchaguzi bila ushabiki ni kusambaza uwongo?

Kusema kwamba ccm ni lazima itende haki ni jinai?

Kutahadharisha kwamba ulaghai wowote utakaofanyika utaleta shida kwa Taifa ni uzushi?

Kuandika ukweli kwamba amani Tanzania ilishatoweka miaka mingi kilichobaki ni uvumilivu ni uwongo? Kuna amani gani katika mazingira ya watu kufa kila siku kwa kukosa huduma za jamii huku kodi wanayolipa ikigawanwa na mafisadi wanaolindwa na serikali? Uwongo uko wapi?

Dola na mitutu haijawahi kudumisha uvumilivu. Hakuna vitisho vilivyowahi kuimarisha utawala duniani. Si mnasoma habari za John Okelo aliyekuwa kiongozi wa mapinduzi ya Zanziba namna alivyokwama pamoja na vitisho vyake?

Ninaomba kama kuna kosa la kweli linalompeleka Jericho kizimbani tushirikishane ndugu zangu. Tanzania ni yetu sote. Tunapaswa kupeana taarifa sahihi na kamili ilikwa pamoja tusaidiane kusimamia maslahi ya taifa letu.

JERICHO ANASHITAKIWA KWA KUSEMA CCM NA WASHIRIKA WAKE WAMEANDAA KARATASI ZA KUPIGA KURA KABLA:- NANI ASIYELIJUA HILI DUNIANI? MASANDUKU YALIYOKAMATWA NA KURA ZINGINE ZIKIWA ZIMEPGIWA HADI MARASANI NANI ALIZITENGENEZA?

MBONA NAONA KAMA SYRIA NA NCHI ZA KIARABU WATU WANATUNGIWA MAKOSA KWA KUWA WANATAKIWA KUUAWA AMBAPO NI LAZIMA WAUAWE NA TRIALS NI KAMA NJIA YA KUTIMIZA MAAMUZI YALIYOKWISHA KUFIKIWA?

NINAOMBA MWENYE KUJUA MAKOSA SAIHI YA JEERICHO ATUSHIRIKISHE. LA KAMA NI HAYA, BASI KUNA TATIZO KUBWA ZAIDI LINAKUJA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…