Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Kama mtakumbuka kwa takribani muongo mmoja kijana Yericko Nyerere alishinda mitandaoni amekuwa mitandaoni kuzalisha propaganda ili tu CHADEMA ipae.
Ilifikia wakati akahatarisha maisha yake kwa kuzusha uongo dhidi ya Mkuu wa majeshi huku akikabiliwa na kesi kadhaa za uchochezi.
Alipewa majina mengi Ila wafuasi wake walimpachika jina la "mwenyekiti wa CHADEMA mitandaoni".
Kuna habari toka ndani ya Chama kuwa kutokana na mwenendo wa chama hususani katika kusaidia wafia chama ameamua kubaki mbutu apambane na hali yake.
Niseme tu kuwa namtakia maisha mema katika harakati zake mpya huko Mbutu, Kigamboni.
Kama mtakumbuka kwa takribani muongo mmoja kijana Yericko Nyerere alishinda mitandaoni amekuwa mitandaoni kuzalisha propaganda ili tu CHADEMA ipae.
Ilifikia wakati akahatarisha maisha yake kwa kuzusha uongo dhidi ya Mkuu wa majeshi huku akikabiliwa na kesi kadhaa za uchochezi.
Alipewa majina mengi Ila wafuasi wake walimpachika jina la "mwenyekiti wa CHADEMA mitandaoni".
Kuna habari toka ndani ya Chama kuwa kutokana na mwenendo wa chama hususani katika kusaidia wafia chama ameamua kubaki mbutu apambane na hali yake.
Niseme tu kuwa namtakia maisha mema katika harakati zake mpya huko Mbutu, Kigamboni.