Yericko Nyerere ajitenga na CHADEMA

Yericko Nyerere ajitenga na CHADEMA

Kwani Yericko hakuteuliwa na chama chake kugombea Ubunge? Chadema hammfanyia fair Mkulima mkuu wa Bamia Mbutu mpaka Kilimahewa.
 
Jiwe ameharibu ustaarabu wa nchii hii anapaswa kujiuzulu mara moja.
Ustaarbu gani kama mnataka hakibya kusema si mwende mkawaseme wazazi wenu kwani lazima mmseme magufuli?
 
Kiukweli kasi ya JPM kuleta maendeleo ya kweli ya kuonekanika, inawafanya wakweli wote kumkubali, wengine kiwaziwazi hadi kujitoa Chadema na kuunga mkono juhudi kwa kujiunga CCM, wengine wenye aibu, wamemuunga mkono JPM kimoyomoyo, wanasubiria tuu ile tarehe 28 October, kwenda kufanya mambo!.
P
Mkuu hebu tuangalie haya maendeleo mnayojivunia
Maendeleo ya nini?
Shukuru Mungu unakula milo mitatu
Shukuru Mungu watoto wako wanasoma au wana cha kufanya
Shukuru Mungu wewe si Ndugu wa Ben Saanane Akwilina Azwory nk
Shukuru Mungu wewe waijua kesho yako
Shukuru Mungu wewe ni msukuma
Shukuru Mungu unajisikia Amani moyoni wakati wengine hawana Amani
Mmeshika mpini wananchi wameshika makali


Kila la Heri kwenda kufanya MAMBO October 28 kwa maneno yako mwenyewe sijui ni mambo gani mtafanya

Mungu yupo
Mungu ni wa wote wenye mwili
Mungu wa haki atainuka siku moja na hasira
 
Ustaarbu gani kama mnataka hakibya kusema si mwende mkawaseme wazazi wenu kwani lazima mmseme magufuli?
Kwa akili yako hujaweze hata kuona upuuzi unaofanywa kwa wagombea wa upinzania nchi nzima?
 
Katika comment zako naona wewe ni mfia dini, sasa kwanini msiende milimani mkakeshe mumuombee asiharibu nchi na miaka ndio hiyo inayoyoma na maisha ya watanzania bado yale yale
Kama huoni ushenzi unaofanywa katika uchaguzi huu yawezekana na wewe ni mshenzi.
 
Kiukweli kasi ya JPM kuleta maendeleo ya kweli ya kuonekanika, inawafanya wakweli wote kumkubali, wengine kiwaziwazi hadi kujitoa Chadema na kuunga mkono juhudi kwa kujiunga CCM, wengine wenye aibu, wamemuunga mkono JPM kimoyomoyo, wanasubiria tuu ile tarehe 28 October, kwenda kufanya mambo!.
P
Wewe mwenyewe umeona jinsi ilivyo vigumu kwa mtu wa kawaida kama wewe kupata nafasi ya kuwania ubunge kwa kuambulia kura 2 tu, halafu bado unamsifia jjiwe tu? Kwa kuwa ni homeboy?
Kiukweli kasi ya JPM kuleta maendeleo ya kweli ya kuonekanika, inawafanya wakweli wote kumkubali, wengine kiwaziwazi hadi kujitoa Chadema na kuunga mkono juhudi kwa kujiunga CCM, wengine wenye aibu, wamemuunga mkono JPM kimoyomoyo, wanasubiria tuu ile tarehe 28 October, kwenda kufanya mambo!.
P
Mkuu hebu tuangalie haya maendeleo mnayojivunia
Maendeleo ya nini?
Shukuru Mungu unakula milo mitatu
Shukuru Mungu watoto wako wanasoma au wana cha kufanya
Shukuru Mungu wewe si Ndugu wa Ben Saanane Akwilina Azwory nk
Shukuru Mungu wewe waijua kesho yako
Shukuru Mungu wewe ni msukuma
Shukuru Mungu unajisikia Amani moyoni wakati wengine hawana Amani
Mmeshika mpini wananchi wameshika makali


Kila la Heri kwenda kufanya MAMBO October 28 kwa maneno yako mwenyewe sijui ni mambo gani mtafanya

Mungu yupo
Mungu ni wa wote wenye mwili
Mungu wa haki atainuka siku moja na hasira
 
Kama huoni ushenzi unaofanywa katika uchaguzi huu yawezekana na wewe ni mshenzi.
Baba Paroko, kumbe nawe uko vizuri kwenye matusi. Ushauri nendeni mkakeshe milimani huko na manabii wenu mumuombee ili asiendelee kuufuta upinzani nchini.
 
Kamanda tulia uone jinsi Tundu anavuostaafishwa siasa mapema
T

Vipi wanaompamba jiwe mchana usiku wako nasi wakisubiria Oct 28 wamtie adabu vilivyo?

Wewe hao hawaoni?

Hizi teuzi hizi ...

Hiiiii bagosha!
 
Kiukweli kasi ya JPM kuleta maendeleo ya kweli ya kuonekanika, inawafanya wakweli wote kumkubali, wengine kiwaziwazi hadi kujitoa Chadema na kuunga mkono juhudi kwa kujiunga CCM, wengine wenye aibu, wamemuunga mkono JPM kimoyomoyo, wanasubiria tuu ile tarehe 28 October, kwenda kufanya mambo!.
P
p kuna karma inakuandama si bure
 
Kiukweli kasi ya JPM kuleta maendeleo ya kweli ya kuonekanika, inawafanya wakweli wote kumkubali, wengine kiwaziwazi hadi kujitoa Chadema na kuunga mkono juhudi kwa kujiunga CCM, wengine wenye aibu, wamemuunga mkono JPM kimoyomoyo, wanasubiria tuu ile tarehe 28 October, kwenda kufanya mambo!.
P
Umejitahidi sana kuwa popo maana ana mabawa na anaruka kama ndege lakini yupo jamii ya wanyama. Wewe ni journalist na unafahamu umuhimu wa freedom of press. Wajua jinsi hiyo freedom ilivyowekwa kapuni na hivyo industry yako wewe mwenyewe ilivyokuwa rubished na huyu myopic leader. Pia, biashara zako wewe binafsi zimekuwa targeted by the same person you keep eulogizing.

Anyway, waswahili wanasema, sisi watanzania ni watu wanafiki sana.
 
Kiukweli kasi ya JPM kuleta maendeleo ya kweli ya kuonekanika, inawafanya wakweli wote kumkubali, wengine kiwaziwazi hadi kujitoa Chadema na kuunga mkono juhudi kwa kujiunga CCM, wengine wenye aibu, wamemuunga mkono JPM kimoyomoyo, wanasubiria tuu ile tarehe 28 October, kwenda kufanya mambo!.
P

October hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Kiukweli kasi ya JPM kuleta maendeleo ya kweli ya kuonekanika, inawafanya wakweli wote kumkubali, wengine kiwaziwazi hadi kujitoa Chadema na kuunga mkono juhudi kwa kujiunga CCM, wengine wenye aibu, wamemuunga mkono JPM kimoyomoyo, wanasubiria tuu ile tarehe 28 October, kwenda kufanya mambo!.
P
Ulitakiwa kutengeneza msiba wa Taifa, ila nakuhakikishia tabia yako imekutengenezea msiba wa mtaa.
 
Yupi?
Huyu?View attachment 1552634
Screenshot_20200830-070201.jpg
 
Umejitahidi sana kuwa popo maana ana mabawa na anaruka kama ndege lakini yupo jamii ya wanyama. Wewe ni journalist na unafahamu umuhimu wa freedom of press. Wajua jinsi hiyo freedom ilivyowekwa kapuni na hivyo industry yako wewe mwenyewe ilivyokuwa rubished na huyu myopic leader. Pia, biashara zako wewe binafsi zimekuwa targeted by the same person you keep eulogizing.
Siku zote life is a struggle for existence and survival is for the fittest. To be fit, one has to be adaptive to the changing environments.

Angalia tarehe ya bandiko hili
Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
P
 
Back
Top Bottom