Yaya Toure matatani kwa ulevi akiendesha gari

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,305
24,193
Mchezaji Yaya Toure wa Manchester City amefunguliwa mashtaka kwa kuendesha gari akiwa amezidisha kiwango cha ulevi, polisi wamethibitisha.

Polisi wamesema mchezaji huyo umri miaka 33, alikamatwa katika kitongoji kimoja cha Jiji la London akiendesha gari huku akiwa na ulevi ulio juu zaidi inavyoruhusiwa na sheria za usalama barabarani.

Alikamatwa siku ya Jumanne iliyopita akiwa anaendesha gari na kuachiwa kwa dhamana. Anatazamiwa kusimama kizimbani kujibu mashtaka hayo tarehe 13 Desemba 2016 ktk mahakama ya hakimu mkazi wa Barkingside.

Mchezaji huyo alicheza katika mechi ya Manchester City na Chelsea, Jumamosi tarehe 03 Desemba 2016 na timu yake kulazwa mabao 3 -1 na Chelsea ktk uwanja wa Etihad Stadium , mjini Manchester.

Yaya Toure alirudishwa kundini ktk timu ya Manchester City baada ya kuomba radhi mapema mwezi October 2016. Sababu ya ''kususiwa'' ni kutokana na matamshi ya kuudhi ya ajenti wake Dimitri Seluk kuhusu uongozi wa timu ya Manchester City.

Mwaka 2012, Yaya Toure alisema yeye ni muumini mzuri wa dini hivyo alikataa zawadi ya kinywaji cha Champagne baada ya kuteuliwa kuwa ''man of the match'' Yaya Toure turns down MOTM champagne on religious grounds | Daily Mail Online , sababu kubwa ikiwa ni kutokana na imani yake ya kidini.

Source: Manchester City's Yaya Toure on drink driving charge - BBC News
 
Mchezaji Yaya Toure wa Manchester City amefunguliwa mashtaka kwa kuendesha gari akiwa amezidisha kiwango cha ulevi, polisi wamethibitisha.

Polisi wamesema mchezaji huyo umri miaka 33, alikamatwa katika kitongoji kimoja cha Jiji la London akiendesha gari huku akiwa na ulevi ulio juu zaidi inavyoruhusiwa na sheria za usalama barabarani.

Alikamatwa siku ya Jumanne iliyopita akiwa anaendesha gari na kuachiwa kwa dhamana. Anatazamiwa kusimama kizimbani kujibu mashtaka hayo tarehe 13 Desemba 2016 ktk mahakama ya hakimu mkazi wa Barkingside.

Mchezaji huyo alicheza katika mechi ya Manchester City na Chelsea, Jumamosi tarehe 03 Desemba 2016 na timu yake kulazwa mabao 3 -1 na Chelsea ktk uwanja wa Etihad Stadium , mjini Manchester.

Yaya Toure alirudishwa kundini ktk timu ya Manchester City baada ya kuomba radhi mapema mwezi October 2016. Sababu ya ''kususiwa'' ni kutokana na matamshi ya kuudhi ya ajenti wake Dimitri Seluk kuhusu uongozi wa timu ya Manchester City.

Mwaka 2012, Yaya Toure alisema yeye ni muumini mzuri wa dini hivyo alikataa zawadi ya kinywaji cha Champagne baada ya kuteuliwa kuwa ''man of the match'' Yaya Toure turns down MOTM champagne on religious grounds | Daily Mail Online , sababu kubwa ikiwa ni kutokana na imani yake ya kidini.

Source: Manchester City's Yaya Toure on drink driving charge - BBC News
Juzi juzi mzee wa upako, leo ustaadhi yaya toure. Mdogomdogo tutakutana ktk fani. Mhudumuuu Leta lite ya moto
 
mtoa post acha uwongo
kuna siku utasema mtume kafufuka
1480842316082.png
1480842330192.png
1480842345523.png
 

Attachments

  • 1480842272757.png
    1480842272757.png
    51.9 KB · Views: 34
Inategemeana na alcohol yenyewe, pengine ni bangi! waligunduaje ni kilevi cha kimiminika? mahakama itatafsiri hio alcohol tusubiri.
 
Jaman kapitiwa unafki wake nn makosa huumbiwa binaadam ndio maana kunakuwa na toba
 
watu weusi kwa unafki
huyu alikataa mvinyo kisa ni wa upande wetu kiimani leo kazidisha au hela nyingi au mawazo ya kufungwa
maisha yana challenge nyingi..yawezekana ameangukia kwenye ulevi kwa ajili ya stress alizokumbana nazo kipindi alipokua na mgogoro na guardiola.....may be cjui zaidi ngoja wajuzi watatujulisha
 
Back
Top Bottom