Yawezekana yule jamaa yetu alipokea sms iliyompoteza mawazo...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,478
40,000
Kwenye ile video ya ustaadhi inaonekana alipokea sms mbili. Inadaiwa -na vyanzo vya kuaminika - kuwa maalim alipokea sms mbili; moja toka kwa "betina" na nyingine kutoka kwa Miss Bantu. Ile ya miss Bantu ndio ilimkoroga. Je kuna mtu anaweza kuhisi ilsema nini!?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…