Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,462
- 39,928
Kwenye ile video ya ustaadhi inaonekana alipokea sms mbili. Inadaiwa -na vyanzo vya kuaminika - kuwa maalim alipokea sms mbili; moja toka kwa "betina" na nyingine kutoka kwa Miss Bantu. Ile ya miss Bantu ndio ilimkoroga. Je kuna mtu anaweza kuhisi ilsema nini!?